1 Mambo Ya Nyakati 3:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Wafuatao ni wana wa mfalme Daudi alipokuwa Yerusalemu: Mkewe Bathshua, bintiye Amieli, alimzalia wana wanne: Himea, Shobabu, Nathani na Solomoni.

1 Mambo Ya Nyakati 3

1 Mambo Ya Nyakati 3:1-13