1 Mambo Ya Nyakati 3:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Wote sita, walizaliwa Hebroni ambako Daudi alitawala kwa muda wa miaka saba na nusu. Huko Yerusalemu, alitawala kwa muda wa miaka thelathini na mitatu.

1 Mambo Ya Nyakati 3

1 Mambo Ya Nyakati 3:3-9