1 Mambo Ya Nyakati 27:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Yoabu mwana wa Seruya alianza kuwahesabu lakini hakumaliza; tena ghadhabu iliwapata Waisraeli kwa ajili ya tendo hili, nayo hesabu hiyo haikuingizwa katika kumbukumbu za mfalme Daudi.

1 Mambo Ya Nyakati 27

1 Mambo Ya Nyakati 27:14-28