1 Mambo Ya Nyakati 27:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Mfalme Daudi hakuwahesabu wale waliokuwa chini ya umri wa miaka ishirini kwa maana Mwenyezi-Mungu aliahidi kuwaongeza Waisraeli wawe wengi kama nyota za mbinguni.

1 Mambo Ya Nyakati 27

1 Mambo Ya Nyakati 27:20-24