1 Mambo Ya Nyakati 26:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Haya ndiyo makundi ya Walawi waliofanya kazi za ubawabu. Kutoka katika ukoo wa Kora, alikuwa Meshelemia mwana wa Kore wa jamaa ya Asafu.

2. Yeye alikuwa na wana saba: Zekaria mzaliwa wake wa kwanza, Yediaeli wa pili, Zebadia wa tatu, Yathnieli wa nne,

3. Elamu wa tano, Yohanani wa sita na Eliehoenai wa saba.

1 Mambo Ya Nyakati 26