1 Mambo Ya Nyakati 26:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Haya ndiyo makundi ya Walawi waliofanya kazi za ubawabu. Kutoka katika ukoo wa Kora, alikuwa Meshelemia mwana wa Kore wa jamaa ya Asafu.

1 Mambo Ya Nyakati 26

1 Mambo Ya Nyakati 26:1-4