1 Mambo Ya Nyakati 2:55 Biblia Habari Njema (BHN)

Jamaa zifuatazo za waandishi ziliishi katika mji wa Yabesi: Watirathi, Washimeathi na Wasukathi. Wao ndio Wakeni waliotoka katika uzao wa Hamathi, aliyekuwa babu yao waliokuwa wa ukoo wa Warekabu.

1 Mambo Ya Nyakati 2

1 Mambo Ya Nyakati 2:45-55