1 Mambo Ya Nyakati 11:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Ndipo Daudi akasema, “Mtu atakayetangulia kuwapiga Wayebusi, atakuwa mkuu na kamanda jeshini.” Basi Yoabu, mwana wa Seruya, akawa wa kwanza kuwashambulia, hivyo akawa mkuu.

1 Mambo Ya Nyakati 11

1 Mambo Ya Nyakati 11:1-16