1 Mambo Ya Nyakati 11:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Daudi na Eliazari walisimama imara katikati ya shamba hilo ili kulitetea, wakawaua Wafilisti; Mwenyezi-Mungu akawaokoa kwa kuwapa ushindi mkubwa.

1 Mambo Ya Nyakati 11

1 Mambo Ya Nyakati 11:13-19