1 Mambo Ya Nyakati 11:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Siku moja Eleazari alikuwa pamoja na Daudi huko Pas-damimu, wakati Wafilisti walipokusanyika kupigana vita. Huko kulikuwa na shamba lenye shayiri tele, nao Waisraeli walikuwa wamewakimbia Wafilisti.

1 Mambo Ya Nyakati 11

1 Mambo Ya Nyakati 11:5-20