1 Mambo Ya Nyakati 10:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Shauli alikufa kwa sababu ya kutokuwa mwaminifu; hakuwa mwaminifu kwani hakutii neno la Mwenyezi-Mungu na alikwenda kwa mwaguzi kumtaka shauri,

1 Mambo Ya Nyakati 10

1 Mambo Ya Nyakati 10:12-14