1 Mambo Ya Nyakati 10:12 Biblia Habari Njema (BHN)

mashujaa wote waliondoka na kuuchukua mwili wa Shauli na miili ya wanawe, wakaileta mpaka Yabeshi. Wakaizika mifupa yao chini ya mwaloni huko Yabeshi, nao wakafunga kwa muda wa siku saba.

1 Mambo Ya Nyakati 10

1 Mambo Ya Nyakati 10:7-14