Zek. 10:5 Swahili Union Version (SUV)

Nao watakuwa kama mashujaa, wakanyagao adui zao katika matope ya njia vitani; nao watapiga vita, kwa sababu BWANA yu pamoja nao; na hao wapandao farasi watafadhaishwa.

Zek. 10

Zek. 10:1-12