Zab. 89:48-51 Swahili Union Version (SUV)

48. Ni mwanamume gani atakayeishi asione mauti,Atakayejiokoa nafsi yake na mkono wa kuzimu?

49. Bwana, zi wapi fadhili zako za kwanza,Ulizomwapia Daudi kwa uaminifu wako?

50. Ee Bwana, ukumbuke,Wanavyosimangwa watumishi wako;Jinsi ninavyostahimili kifuani mwanguMasimango ya watu wengi.

51. Ambayo adui zako wamesimanga, Ee BWANA,Naam, wamezisimanga hatua za masihi wako.

Zab. 89