Zab. 88:3-5 Swahili Union Version (SUV)

3. Maana nafsi yangu imeshiba taabu,Na uhai wangu umekaribia kuzimu.

4. Nimehesabiwa pamoja nao washukao shimoni;Nimekuwa kama mtu asiye na msaada.

5. Miongoni mwao waliokufa nimetupwa,Kama waliouawa walalao makaburini.Hao ambao Wewe huwakumbuki tena,Wametengwa mbali na mkono wako.

Zab. 88