14. Kama moto uteketezao msitu,Kama miali ya moto iiwashayo milima,
15. Ndivyo utakavyowafuatia kwa tufani yako,Na kuwafadhaisha kwa dhoruba yako.
16. Uwajaze nyuso zao fedheha;Wakalitafute jina lako, BWANA.
17. Waaibike, wafadhaike milele,Naam, watahayarike na kupotea.