Zab. 78:20-23 Swahili Union Version (SUV)

20. Tazama, aliupiga mwamba;Maji yakabubujika, ikafurika mito.Pia aweza kutupa chakula?Atawaandalia watu wake nyama?

21. Hivyo BWANA aliposikia akaghadhibika;Moto ukawashwa juu ya Yakobo,Hasira nayo ikapanda juu ya Israeli.

22. Kwa kuwa hawakumwamini Mungu,Wala hawakuutumainia wokovu wake.

23. Lakini aliyaamuru mawingu juu;Akaifungua milango ya mbinguni;

Zab. 78