5. Wametekwa wenye moyo thabiti;Wamelala usingizi;Wala hawakuiona mikono yaoWatu wote walio hodari.
6. Kwa kukemea kwako, Ee Mungu wa Yakobo,Gari na farasi wameshikwa na usingizi mzito.
7. Wewe ndiwe utishaye, naam, Wewe;Naye ni nani awezaye kusimama ufanyapo hasira?
8. Toka mbinguni ulitangaza hukumu;Nchi iliogopa, ikakaa kimya.