Zab. 76:5-8 Swahili Union Version (SUV)

5. Wametekwa wenye moyo thabiti;Wamelala usingizi;Wala hawakuiona mikono yaoWatu wote walio hodari.

6. Kwa kukemea kwako, Ee Mungu wa Yakobo,Gari na farasi wameshikwa na usingizi mzito.

7. Wewe ndiwe utishaye, naam, Wewe;Naye ni nani awezaye kusimama ufanyapo hasira?

8. Toka mbinguni ulitangaza hukumu;Nchi iliogopa, ikakaa kimya.

Zab. 76