Zab. 73:6-9 Swahili Union Version (SUV)

6. Hivyo kiburi kimekuwa mkufu shingoni mwao,Jeuri huwavika kama nguo.

7. Macho yao hutokeza kwa kunenepa,Wameipita kadiri ya mawazo ya mioyo yao.

8. Hudhihaki, husimulia mabaya,Husimulia udhalimu kana kwamba wako juu.

9. Wameweka kinywa chao mbinguni,Na ulimi wao hutanga-tanga duniani.

Zab. 73