3. Maana naliwaonea wivu wenye kujivuna,Nilipoiona hali ya amani ya wasio haki.
4. Maana hawana maumivu katika kufa kwao,Na mwili wao una nguvu.
5. Katika taabu ya watu hawamo,Wala hawapati mapigo pamoja na wanadamu.
6. Hivyo kiburi kimekuwa mkufu shingoni mwao,Jeuri huwavika kama nguo.