Zab. 66:9-11 Swahili Union Version (SUV)

9. Aliyeiweka nafsi yetu katika uhai,Wala hakuuacha mguu wetu usogezwe.

10. Kwa maana umetupima, Ee Mungu,Umetujaribu inavyojaribiwa fedha.

11. Ulituingiza ndani ya wavu,Na kuweka viunoni mwetu mzigo uliotulemea.

Zab. 66