Zab. 60:1-2 Swahili Union Version (SUV)

1. Ee Mungu, umetutupa na kututawanya,Umekuwa na hasira, uturudishe tena.

2. Umeitetemesha nchi na kuipasua,Upaponye palipobomoka, maana inatikisika.

Zab. 60