Zab. 59:8-11 Swahili Union Version (SUV)

8. Na Wewe, BWANA, utawacheka,Utawadhihaki mataifa yote.

9. Ee nguvu zangu, nitakungoja Wewe,Maana Mungu ndiye aliye ngome yangu

10. Mungu wa fadhili zangu atanitangulia,Mungu atanijalia kuwatazama adui zangu.

11. Usiwaue, watu wangu wasije wakasahau;Uwatawanye kwa uweza wako,Na kuwaangamiza, Ee Bwana, ngao yetu.

Zab. 59