2. Uniponye nao wafanyao maovu,Uniokoe na watu wa damu.
3. Kwa maana wanaiotea nafsi yangu;Wenye nguvu wamenikusanyikia;Ee BWANA, si kwa kosa langu,Wala si kwa hatia yangu.
4. Bila kosa langu huenda mbio, hujiweka tayari;Uamke uonane nami, na kutazama.