Zab. 59:2-4 Swahili Union Version (SUV)

2. Uniponye nao wafanyao maovu,Uniokoe na watu wa damu.

3. Kwa maana wanaiotea nafsi yangu;Wenye nguvu wamenikusanyikia;Ee BWANA, si kwa kosa langu,Wala si kwa hatia yangu.

4. Bila kosa langu huenda mbio, hujiweka tayari;Uamke uonane nami, na kutazama.

Zab. 59