5. Ee Mungu, utukuzwe juu ya mbingu,Na juu ya nchi yote uwe utukufu wako.
6. Wameweka wavu ili kuninasa miguu;Nafsi yangu imeinama;Wamechimba shimo mbele yangu;Wametumbukia ndani yake!
7. Ee Mungu, moyo wangu u thabiti,Moyo wangu u thabiti.Nitaimba, nitaimba zaburi,