Zab. 56:10-12 Swahili Union Version (SUV)

10. Kwa msaada wa MUNGU nitalisifu neno lake.Kwa msaada wa BWANA nitalisifu neno lake.

11. Nimemtumaini Mungu, sitaogopa;Mwanadamu atanitenda nini?

12. Ee Mungu, nadhiri zako zi juu yangu;Nitakutolea dhabihu za kushukuru.

Zab. 56