Zab. 49:17-19 Swahili Union Version (SUV)

17. Maana atakapokufa hatachukua cho chote;Utukufu wake hautashuka ukimfuata.

18. Ajapojibariki nafsi yake alipokuwa hai,Na watu watakusifu ukijitendea mema,

19. Atakwenda kwenye kizazi cha baba zakeHawataona nuru hata milele.

Zab. 49