Zab. 49:1-3 Swahili Union Version (SUV)

1. Sikieni haya, enyi mataifa yote;Sikilizeni, ninyi nyote mnaokaa duniani.

2. Watu wakuu na watu wadogo wote pia,Tajiri na maskini wote pamoja.

3. Kinywa changu kitanena hekima,Na fikira za moyo wangu zitakuwa za busara.

Zab. 49