14. Atapelekwa kwa mfalmeNa mavazi yaliyofumwa kwa uzuri.Wanawali wenzake wanaomfuata,Watapelekwa kwako.
15. Watapelekwa kwa furaha na shangwe,Na kuingia katika nyumba ya mfalme.
16. Badala ya baba zako watakuwapo watoto wako,Utawafanya kuwa wakuu katika nchi zote.