Zab. 43:1-2 Swahili Union Version (SUV)

1. Ee Bwana, unihukumu, unitetee kwa taifa lisilo haki,Uniokoe na mtu wa hila asiye haki.

2. Kwa kuwa Wewe ndiwe Mungu uliye nguvu zangu; kwa nini umenitupa?Kwa nini ninakwenda nikihuzunika, adui wakinionea?

Zab. 43