7. Na sasa ninangoja nini, Ee Bwana?Matumaini yangu ni kwako.
8. Uniokoe na maasi yangu yote,Usinifanye laumu ya mpumbavu.
9. Nimenyamaza, sitafumbua kinywa changu,Maana Wewe ndiwe uliyeyafanya.
10. Uniondolee pigo lako;Kwa uadui wa mkono wako nimeangamia.
11. Ukimrudi mtu kwa kumkemea kwa uovu wake,Watowesha uzuri wake kama nondo.Kila mwanadamu ni ubatili.