Zab. 35:26-27 Swahili Union Version (SUV)

26. Waaibishwe, wafedheheshwe pamoja,Wanaoifurahia hali yangu mbaya.Wavikwe aibu na fedheha,Wanaojikuza juu yangu.

27. Washangilie na kufurahi,Wapendezwao na haki yangu.Naam, waseme daima, Atukuzwe BWANA,Apendezwaye na amani ya mtumishi wake.

Zab. 35