8. Ee BWANA, nalikulilia Wewe,Naam, kwa BWANA naliomba dua.
9. Mna faida gani katika damu yanguNishukapo shimoni?Mavumbi yatakusifu?Yataitangaza kweli yako?
10. Ee BWANA, usikie, unirehemu,BWANA, uwe msaidizi wangu.
11. Uligeuza matanga yangu kuwa machezo;Ulinivua gunia, ukanivika furaha.