6. Airusha-rusha kama ndama wa ng’ombe;Lebanoni na Sirioni kama mwana-nyati.
7. Sauti ya BWANA yaipasua miali ya moto;
8. Sauti ya BWANA yalitetemesha jangwa;BWANA alitetemesha jangwa la Kadeshi.
9. Sauti ya BWANA yawazalisha ayala,Na kuifichua misitu;Na ndani ya hekalu lakeWanasema wote, Utukufu.
10. BWANA aliketi juu ya Gharika;Naam, BWANA ameketi hali ya mfalme milele.