10. Baba yangu na mama yangu wameniacha,Bali BWANA atanikaribisha kwake.
11. Ee BWANA, unifundishe njia yako,Na kuniongoza katika njia iliyonyoka;Kwa sababu yao wanaoniotea;
12. Usinitie katika nia ya watesi wangu;Maana mashahidi wa uongo wameniondokea,Nao watoao jeuri kama pumzi.
13. Naamini ya kuwa nitauona wema wa BWANAKatika nchi ya walio hai.