Zab. 22:12-14 Swahili Union Version (SUV)

12. Mafahali wengi wamenizunguka,Walio hodari wa Bashani wamenisonga;

13. Wananifumbulia vinywa vyao,Kama simba apapuraye na kunguruma.

14. Nimemwagika kama maji,Mifupa yangu yote imeteguka,Moyo wangu umekuwa kama nta,Na kuyeyuka ndani ya mtima wangu.

Zab. 22