Zab. 2:1-2 Swahili Union Version (SUV)

1. Mbona mataifa wanafanya ghasia,Na makabila wanatafakari ubatili?

2. Wafalme wa dunia wanajipanga,Na wakuu wanafanya shauri pamoja,Juu ya BWANA,Na juu ya masihi wake,

Zab. 2