Zab. 146:7-9 Swahili Union Version (SUV)

7. Huwafanyia hukumu walioonewa,Huwapa wenye njaa chakula;BWANA hufungua waliofungwa;

8. BWANA huwafumbua macho waliopofuka;BWANA huwainua walioinama;BWANA huwapenda wenye haki;

9. BWANA huwahifadhi wageni;Huwategemeza yatima na mjane;Bali njia ya wasio haki huipotosha.

Zab. 146