Zab. 145:9-11 Swahili Union Version (SUV)

9. BWANA ni mwema kwa watu wote,Na rehema zake zi juu ya kazi zake zote.

10. Ee BWANA, kazi zako zote zitakushukuru,Na wacha Mungu wako watakuhimidi.

11. Wataunena utukufu wa ufalme wako,Na kuuhadithia uweza wako.

Zab. 145