18. Kama ningezihesabu ni nyingi kuliko mchanga;Niamkapo nikali pamoja nawe.
19. Ee Mungu, laiti ungewafisha waovu!Enyi watu wa damu, ondokeni kwangu;
20. Kwa maana wakuasi kwa ubaya,Adui zako wakutaja jina lako bure.
21. Je! BWANA nisiwachukie wanaokuchukia?Nisikirihike nao wakuasio?