Zab. 139:18-21 Swahili Union Version (SUV)

18. Kama ningezihesabu ni nyingi kuliko mchanga;Niamkapo nikali pamoja nawe.

19. Ee Mungu, laiti ungewafisha waovu!Enyi watu wa damu, ondokeni kwangu;

20. Kwa maana wakuasi kwa ubaya,Adui zako wakutaja jina lako bure.

21. Je! BWANA nisiwachukie wanaokuchukia?Nisikirihike nao wakuasio?

Zab. 139