Zab. 13:4-5 Swahili Union Version (SUV)

4. Adui yangu asije akasema, Nimemshinda;Watesi wangu wasifurahi ninapoondoshwa.

5. Nami nimezitumainia fadhili zako;Moyo wangu na uufurahie wokovu wako.

Zab. 13