2. Kama milima inavyouzunguka Yerusalemu,Ndivyo BWANA anavyowazunguka watu wake,Tangu sasa na hata milele.
3. Kwa maana fimbo ya udhalimuHaitakaa juu ya fungu la wenye haki;Wenye haki wasije wakainyoshaMikono yao kwenye upotovu.
4. Ee BWANA, uwatendee mema walio wema,Nao walio wanyofu wa moyo.