Zab. 124:4-7 Swahili Union Version (SUV)

4. Papo hapo maji yangalitugharikisha,Mto ungalipita juu ya roho zetu;

5. Papo hapo yangalipita juu ya nafsi zetuMaji yafurikayo.

6. Na ahimidiwe BWANA;Asiyetutoa kuwa mawindo kwa meno yao.

7. Nafsi yetu imeokoka kama ndegeKatika mtego wa wawindaji,Mtego umevunjika, nasi tumeokoka.

Zab. 124