Zab. 124:1-3 Swahili Union Version (SUV)

1. Kama si BWANA aliyekuwa pamoja nasi,Israeli na aseme sasa,

2. Kama si BWANA aliyekuwa pamoja nasi,Wanadamu walipotushambulia.

3. Papo hapo wangalitumeza hai,Hasira yao ilipowaka juu yetu

Zab. 124