Zab. 120:1-4 Swahili Union Version (SUV)

1. Katika shida yangu nalimlilia BWANANaye akaniitikia.

2. Ee BWANA, uiponye nafsi yanguNa midomo ya uongo na ulimi wa hila.

3. Akupe nini, akuzidishie nini,Ewe ulimi wenye hila?

4. Mishale ya mtu hodari iliyochongoka,Pamoja na makaa ya mretemu.

Zab. 120