Zab. 12:1-3 Swahili Union Version (SUV)

1. BWANA, uokoe, maana mcha Mungu amekoma,Maana waaminifu wametoweka katika wanadamu.

2. Husemezana yasiyofaa kila mtu na mwenziwe,Wenye midomo ya kujipendekeza;Husemezana kwa mioyo ya unafiki;

3. BWANA ataikata midomo yote ya kujipendekeza,Nao ulimi unenao maneno ya kiburi;

Zab. 12