Zab. 12:1-2 Swahili Union Version (SUV)

1. BWANA, uokoe, maana mcha Mungu amekoma,Maana waaminifu wametoweka katika wanadamu.

2. Husemezana yasiyofaa kila mtu na mwenziwe,Wenye midomo ya kujipendekeza;Husemezana kwa mioyo ya unafiki;

Zab. 12