143. Taabu na dhiki zimenipata,Maagizo yako ni furaha yangu.
144. Haki ya shuhuda zako ni ya milele,Unifahamishe, nami nitaishi.
145. Nimeita kwa moyo wangu wote; Ee BWANA, uitike;Nitazishika amri zako.
146. Nimekuita Wewe, uniokoe,Nami nitazishika shuhuda zako.
147. Kutangulia mapambazuko naliomba msaada,Naliyangojea maneno yako kwa tumaini.