Zab. 119:102-104 Swahili Union Version (SUV)

102. Sikujiepusha na hukumu zako,Maana Wewe mwenyewe umenifundisha.

103. Mausia yako ni matamu sana kwangu,Kupita asali kinywani mwangu.

104. Kwa mausia yako najipatia ufahamu,Ndiyo maana naichukia kila njia ya uongo.

Zab. 119