Zab. 118:5-9 Swahili Union Version (SUV)

5. Katika shida yangu nalimwita BWANA;BWANA akanijibu akaniweka panapo nafasi.

6. BWANA yuko upande wangu, sitaogopa;Mwanadamu atanitenda nini?

7. BWANA yuko upande wangu, msaidizi wangu,Kwa hiyo nitawaona wanaonichukia wameshindwa.

8. Ni heri kumkimbilia BWANAKuliko kuwatumainia wanadamu.

9. Ni heri kumkimbilia BWANA.Kuliko kuwatumainia wakuu.

Zab. 118